Back to home
Dhuluma na mimba za utotoni zinaathiri Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
2h ago
Ongezeko la visa vya dhuluma za kijinsia miongoni mwa watoto pamoja na mimba za utotoni katika kaunti ya Busia limeibua wasiwasi mkubwa. Katika eneo la Teso Kaskazini idadi ya wasichana waja wazito ikipanda hadi asilimia 18 mbali na kuongezeka kwa maambukizi ya HIV miongoni mwa v
Advertisement
Advertisement









