Back to home
Wakaazi wa Malindi wanufaika na matibabu ya bure
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Wakaazi wa Malindi wamenufaika na matibabu ya bure kutoka kwa jamii ya Bohora mjini humo.
Baadhi ya wakaazi wa Shella wamesema kambi hiyo ya matibabu imewasaidia pakubwa haswa watu wazima ambao wanaougua maradhi mbali mbali. Kwa mujibu wa daktari Adnan Mustafa aliyeongoza kikosi
Advertisement
Advertisement





