Back to home

Nacada imezindua kampeni ya kuhamasisha umma

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 7, 2026
2h ago
Mamlaka ya kudhibiti pombe na mihadarati nchini NACADA imezindua kampeni ya kuhamasisha umma kuhusu athari za dawa za kulevya. Akizungumza baada ya Kuzindua kampeini hiyo mjini Bungoma, Naibu Kamishna Geoffrey Githinji amesema kuwa shughuli hiyo inalenga kutoa hamasa kwa vijana n
Advertisement