Back to home

Zaidi ya wakulima 200 kutoka Kipini mashariki wapewa miche ya minazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 7, 2026
2h ago
Zaidi ya wakulima 200 kutoka Kipini Mashariki, kaunti ya Tana River wamepokea miche laki tano ya minazi ili kuendeleza kilimo hicho ambacho kulikuwa kimeanza kudidimia. Wizara ya kilimo ya kaunti hiyo inalenga kuimarisha na uboresha kilimo hicho kwa kuongeza thamani kwa bidhaa zi
Advertisement