Back to home
Vijana waraiwa kujiunga na taasisi za kiufundi mashinani huko Malindi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Wito umetolewa kwa vijana kujiunga na taasisi za kiufundi mashinani ili kupata ujuzi wa kuwawezesha kujiajiri au kupata nafasi za ajira katika sekta ya Uchumi wa baharini.
Katika kaunti ya Kilifi, Zaidi ya vijana laki tatu hawana ujuzi wa kuwawezesha kupata fursa katika soko la a
Advertisement
Advertisement




