Back to home

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bomet wanalalamikia ujenzi wa jalala karibu na chuo hicho

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 7, 2026
2h ago
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Bomet na wanajamii wanalalamikia ujenzi wa eneo la kutupa taka karibu na chuo hicho na mto wa Nyangores. Wanafunzi hao Wanasema kuwa licha ya kushinikiza serikali ya kaunti ya Bomet kutenge mahali mbadala, ujenzi umeendelea bila jamii kuhusishwa au a
Advertisement