Back to home

Wahadhiri walalamikia usimamizi wa chuo kikuu cha Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
1h ago
Chama cha wahadhiri wa vyuo vikuu katika chuo kikuu cha Nairobi kimetishia kuchukua hatua kali, ikiwa ni pamoja na mgomo, kutokana na mzozo wa muda mrefu wa uongozi katika taasisi hiyo. Chama hicho kinataka uteuzi wa haraka wa Makamu Chansela na naibu wake Makamu, kikionya kuwa k
Advertisement