Back to home
Wanafunzi Loruk wakumbwa na hatari baada ya ziwa Baringo kuvunja kingo
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
1h ago
Mamia ya wanafunzi katika eneo la Loruk, Baringo Kaskazini, wanaishi katika hatari baada ya Ziwa Baringo kuvunja kingo zake.
Zaidi ya wanafunzi 250 kutoka Shule ya Loruk wanalazimika kuhatarisha maisha kila wanapoelekea shuleni baada ya barabara ya kuingia katika shule hiyo kuka
Advertisement
Advertisement




