Back to home
Mahakama yaruhusu ushahidi wa afya wa Gachagua
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
1h ago
Mahakama sasa imekubali kuwasilishwa kwa ushahidi kutoka kwa daktari wa aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, kuhusiana na hali yake ya afya wakati wa vikao vya kubanduliwa kwake.
Aidha, daktari Dan Gikonyo aliyewasilisha ushahidi unaoashiria kuwa Gachagua alikuwa hospitalini,
Advertisement
Advertisement





