Back to home
Wanafunzi wa gredi ya 10 walia Kukosa karo wakati wizara ikidai uandikishaji wa juu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
1h ago
Watoto zaidi wa Gredi ya 10 wameendelea kujitokeza kusimulia changamoto wanazokumbana nazo baada ya masomo yao kukwama kutokana na ukosefu wa karo.
Mercy Kagendo kutoka eneo la Mishomoroni, Mombasa, bado hajajiunga rasmi na masomo ya Gredi ya 10 licha ya kuwa alishika nafasi ya
Advertisement
Advertisement




