Back to home
Wauguzi kaunti ya Embu watishia kuanza mgomo baada ya siku 7
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
3h ago
Huduma za afya katika Kaunti ya Embu huenda zikatatizika baada ya wauguzi kutoa notisi ya mgomo wa siku saba kwa serikali ya kaunti wakilalamikia kutotekelezwa kwa makubaliano yaliyofikiwa mwaka 2024.
Advertisement
Advertisement




