Back to home
Wizara ya umma yakosolewa Makueni kwa matumizi mabaya ya fedha za walipa ushuru
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 11, 2026
2h ago
Viongozi wa Kaunti ya Makueni wameendelea kuishutumu serikali kupitia Wizara ya Utumishi wa Umma kwa kile wanachosema ni matumizi mabaya ya fedha za walipa ushuru kupitia shughuli za ugavi wa chakula cha msaada.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and
Advertisement
Advertisement





