Back to home

Wizara ya fedha yatakiwa kutathmini upya mapendekezo ya kanuni za mali za kidijitali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
April 11, 2026
1h ago
Wizara ya fedha imetakiwa kutathmini upya mapendekezo ya kanuni za mali za kidijitali ili kuhakikisha biashara ya kifedha inayoendeshwa kupitia mifumo ya kidijitali inaleta manufaa katika ukuaji wa uchumi wa kitaifa. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news toda
Advertisement