Back to home

Osotsi asimulia masaibu yake, asema Raymond Omollo alihusika katika shambulizi dhidi yake Kisumu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
April 11, 2026
2h ago
Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi amedai kuwa katibu wa usalama wa taifa Raymond Omollo alihusika katika shambulizi dhidi yake lililotokea mapema wiki hii katika Kaunti ya Kisumu. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get
Advertisement