Back to home
Wakazi wa Sunrise, mjini Maralal, wadai barabara imenyakuliwa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
2h ago
Wakazi wa mtaa wa Sunrise viungani mwa mji wa Maralal kaunti ya samburu, wamelalamikia kunyakuliwa kwa barabara ya kuingia mtaani humo na kuwalazimu kutumia njia za mkato kuingia na kutoka mtaani humo. Sasa wanaitaka usimamizi wa manispaa mjini Maralal kutatua swala hilo.
Advertisement
Advertisement



