Back to home

Wanaharakati wapinga ushirikiano wa Afrika na Ufaransa

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 12, 2026
2h ago
Wanaharakati watano wakiwemo raia wa kigeni wamekamatwa jiji Nairobi baada ya polisi kutawanya maandamano dhidi ya Kongamano la Africa Forward linaloendelea katika ukumbi wa KICC.
Advertisement