Back to home
Wamiliki wa ardhi watakaoathiriwa na upanuzi wa uwanja wa ndege Wajir watishia hatua za kisheria
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 12, 2026
1h ago
Wamiliki wa ardhi watakaoathiriwa na mradi unaopendekezwa wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Wajir wametishia kuchukua hatua za kisheria kufuatia kile walichodai ni kuachwa nje ya mikutano muhimu kuhusu mradi huo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today an
Advertisement
Advertisement

