Back to home

Mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege Garissa unatarajiwa kukamilika karibuni

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 11, 2026
2h ago
Gavana wa Kaunti ya Garissa Nathif Jama Adam, amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa uwanja mdogo wa ndege wa Garissa, akisema kuwa mradi huo uko katika hatua za mwisho kukamilika. Gavana Nathif amesema kuwa ifikapo mwisho wa mwezi huu, uwanja huo utafunguliwa rasmi na kuanza kutumi
Advertisement