Back to home
Wanaharakati 12 wakamatwa Nairobi baada ya maandamano ya kupinga Africa Forward
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
2h ago
Wanaharakati 12 wakiwemo raia wanne wa kigeni wamekamatwa jijini Nairobi baada ya polisi kutawanya maandamano dhidi ya kongamano la Africa Forward lililokamilika leo. Wanaharakati hao waliandamana wakipinga uhusiano kati ya Kenya na Ufaransa wakidai mkataba wa ushirikiano unaleng
Advertisement
Advertisement




