Back to home
Gachagua apuuza kongamano la Africa Forward, atilia shaka ziara ya Macron
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
2h ago
Kinara wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amepuuza kongamano linaoendelea la Africa Forward akitilia shaka nia ya ziara wa Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini Kenya. Gachagua anadai kuwa safari ya Rais Macron inahusiana na mradi ujenzi wa barabara kuu ya Rironi–Mau Summit,
Advertisement
Advertisement





