Back to home
Ruto ataka Afrika kuepuka mikopo na kupewa nafasi UNSC
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
3h ago
Rais William Ruto amewarai viongozi barani Afrika kuepuka hulka za kukopa fedha kutoka mataifa ya ughaibuni ili kujiendeleza. Rais Ruto aliyehudhuria kongamano la Africa Forward lililofanyika jijini leo pia alitaka Afrika ipewe nafasi ya kudumu katika Baraza la Usalama la Umoja w
Advertisement
Advertisement





