Back to home

Maandalizi yakamilika Emurua Dikirr kabla ya uchaguzi mdogo

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 12, 2026
2h ago
Ikiwa imesalia siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Emurua Dikirr, mshirikishi mkuu wa Bonde la Ufa, Abdi Hassan Noor, amefanya mkutano wa faragha na vitengo vya ulinzi na kusisitiza kuwa yeyote atakayejaribu kuleta vurugu atakabiliwa. Haya yakijiri, Tume Huru ya Uc
Advertisement