Back to home

Malalamiko ya madereva wa masafa marefu kuhusu usalama wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
2h ago
Madereva wa masafa marefu kutoka Mombasa wametoa makataa kwa serikali na jumuiya ya Afrika mashariki kutatua changamoto ya usalama katika taifa la sudan kusini. wamelalamikia kukamatwa kwa Mwenyekiti wa madereva wa masafa marefu kaunti ya Mombasa Sudi Mwatela mpakani Uganda na Su
Advertisement