Back to home

Jengo la ghorofa nane lilianguka katika eneo la ole Nairi Kajiado kaskazini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
2h ago
Milli mingine miwili imeopolewa kutoka kwenye vifusi vya jengo la ghorofa nane lililoporomoka katika eneo la Olenairi, Oloolua kajiado Kaskazini na kufikisha idadi ya waliopatikana kuwa watatu huku shughuli za uokoaji zikiingia siku ya tano.
Advertisement