Back to home

Mwanafunzi kutoka shule ya Kenya High Joy Wanjiru aliyepotea kwa wiki sita apatikana

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
1h ago
Mwanafunzi wa kidato cha tatu kutoka shule ya Kenya High amepatikana baada ya kupotea kwa wiki sita. Joy Wanjiru alipatikana huko Thika Kaunti ya Kiambu huku hali yake ya kiafya ikionyesha dalili za mafadhaiko na uchovu kabla ya kufikishwa katika hospitali ya rufaa ya Nyeri kwa m
Advertisement