Back to home
Daktari Pascal Wakafura alivamiwa na watu wasiojulikana katika kaunti ya Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Kulingana na familia ya marehemu, jamaa yao alivamiwa na watu wasiojulikana mwendo wa saa sita usiku na kuuawa papo hapo bila kuibiwa chochote. Wametaka uchunguzi wa kina kufanyika kubainisha chanzo cha mauaji hayo, wakisema kuwa mwana wao alikuwa nguzo muhimu katika familia y
Advertisement
Advertisement





