Back to home
Waziri wa Ulinzi Soipan Tuya asema ujenzi wa viwanja unaendelea katika kaunti zote
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Waziri wa Ulinzi Soipan Tuya amesema kuwa ujenzi wa viwanja vya michezo unaoendelea katika kaunti zote nchini unatarajiwa kuimarisha sekta ya michezo pamoja na kukuza vipaji.
Advertisement
Advertisement




