Back to home

Kampuni ya M-Ajira yawasajili madereva wa Mombasa watakaoenda Saudia

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
2h ago
Baada ya siku mbili za shughuli za usajili jijini Nairobi, kampuni ya M-ajira sasa imetua jijini Mombasa kuendeleza zoezi la kuwasajili madereva wa malori makubwa kwa nafasi za ajira nchini Saudi Arabia. Maafisa wa M-ajira kwa ushirikiano na SMASCO kutoka Saudi Arabia wataendesha
Advertisement