Back to home
Wakulima wa miwa na mahindi wageukia kilimo cha soya Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Wakulima katika kaunti ya Busia County wameanza kuachana na kilimo cha miwa na mahindi ambacho kwa miaka mingi kilikuwa chanzo kikuu cha mapato yao, kutokana na hasara kubwa wanazodai kuendelea kupata.
kutokana na changamoto hizo, kakulima wengi sasa wamegeukia milimo cha soya na
Advertisement
Advertisement





