Back to home
Washikadau wa mchezo wa staranki Kiambu wahimiza wazazi kusajili watoto wao mapema
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Washikadau wa mchezo wa Sataranji katika kaunti ya Kiambu wamehimiza wazazi kusajili watoto wao mapema huku wakidai kuwa serikali pamoja na shirikisho la sataranji wameweka mikakati mbali mbali kwenye shule ili kukuza mchezo huo nchi nzima
Subscribe and watch NTV Kenya live for
Advertisement
Advertisement





