Back to home
Wakazi wa Ol Donyiro wapinga kuhamishwa kwa bwawa la Crocodile Jaw
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
8h ago
Wakaazi wa Ol Donyiro mpakani mwa kaunti za Laikipia na Isiolo wamepinga vikali mipango ya kuhamisha eneo la ujenzi wa bwawa la Crocodile Jaw , kwenye mto ewaso ng'iro kutoka eneo lililokubaliwa awali.
Advertisement
Advertisement





