Back to home
Wakazi wa Garissa waonywa dhidi ya kula nyama ya wanyama pori
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
1h ago
Idara ya wanyama pori nchini KWS imewatahadharisha wenyeji wa kaunti za Garissa na Tana River dhidi ya uwindaji haramu na ulaji wa nyama kutoka kwa wanyama pori.
Advertisement
Advertisement





