Back to home
Mtu mmoja ajeruhiwa vibaya kwenye maandamano huko Moyale kaunti ya Marsabit
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
2h ago
Vijana wa maeneo bunge ya Saku na Moyale wanalalamikia maswala kadhaa ikiwemo kuakamatwa kwa wazee wawili kwa njia ya kutatanisha huko Sololo, mauaji ya kiholela na unyakuzi wa ardhi. kadhalika kumekuweko na mzozo wa mpaka kati ya kaunti ya marsabit na Wajir eneo la Titu huku vio
Advertisement
Advertisement





