Back to home

wakazi wa Mandera walalamikia mauaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 14, 2026
1h ago
Wenyeji wa mji wa Mandera wafanya maandamano wakikashifu shambulizi la kinyama lililosababisha mauaji ya watu sita kwenye barabara kuu ya Mandera kuelekea Arabia siku ya Jumamosi
Advertisement