Back to home
Kenya ya U17 ya wanawake kuvaana na Uganda katika kufuzu Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake ya chini ya miaka 17 itachuana na Uganda katika mechi ya raundi ya pili ya kufuzu kwa Kombe la Dunia. Uganda itakuwa mwenyeji wa mkondo wa kwanza mnamo Mei 22, huku mechi ya marudiano ikichezwa tarehe 30 Mei katika Uwanja wa Nyayo.
Nyota hao
Advertisement
Advertisement





