Back to home
Omar Hassan awapongeza washindi wa UDA katika chaguzi ndogo
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
1h ago
Katibu mkuu wa chama cha uda Omar Hassan awapongeza washindi wa UDA katika chaguzi ndogo za jana. Akizungumza katika makao makuu ya uda hapa Nairobi Omar amempongeza David Kipsang Keter kwa kuchaguliwa kuw mbunge wa Emurua Dikirr, pamoja na Daniel Lolngo jine aliyeshinda kiti cha
Advertisement
Advertisement





