Back to home
David Kipsang Keter ashinda uchaguzi mdogo wa Emurua Dikirr
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
4h ago
David Kipsang Keter ndiye Mbunge mteule wa eneo bunge la Emurua Dikirr baada ya kunyakua ushindi katika uchaguzi mdogo uliofanyika siku ya Alhamisi katika eneo hilo.
Keter alijizolea kura 18,266 kati ya kura 29,535 zilizopigwa.
Advertisement
Advertisement




