Back to home

Familia Baringo zahama hofu ya maji kuibuka ardhini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 17, 2026
7h ago
Makumi ya familia katika kijiji cha Olko-kwee, Kaunti ya Baringo, zimehama makao yao kwa hofu ya kusombwa na maji yanayoendelea kujaa kutoka ardhini. Wakazi wanasema hawajawahi kushuhudia hali hiyo hapo awali, huku wanajiolojia wakichunguza uwezekano wa kuibuka kwa ziwa jipya kat
Advertisement