Back to home
Mgomo wa wahudumu wa afya waingia siku ya saba Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
2h ago
Mgomo wa Maafisa tabibu wa kaunti ya Kwale waingia siku ya saba , huku wakishinikiza serikali ya kaunti hiyo kutekeleza matakwa sita watakayo yashughulikiwe kabla ya kurudi kazini.
Advertisement
Advertisement





