Back to home
Ebola: Marekani yasema wahudumu wake saba wako Laikipia, Kenya
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 18, 2026
2h ago
Marekani imethibitisha kuwa wahudumu wake saba wa kundi la kukabiliana na janga la Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, wapo katika kituo cha kutenga wagonjwa kilichoko Laikipia hapa nchini kwa uangalizi wa kiafya.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest K
Advertisement
Advertisement


