Back to home
Wakazi wa Diani wataka ujenzi kusitishwa hadi migogoro ya ardhi itatuliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Wakaazi wa vijiji vya Mwaroni, Chidze na Mwakamba katika eneo la Diani wameitaka serikali kuzuia wawekezaji kujenga mijengo mipya katika ardhi zilizo wazi katika maeneo hayo hadi migogoro ya dhuluma za kihistoria za ardhi itakapopatiwa suluhu.
Advertisement
Advertisement



