Back to home
Familia yalilia usaidizi kutafuta mwili wa mtoto aliyezama na kufariki mto Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Familia ya mtoto Wayne Joel Otieno, aliyezama na kufariki kwenye Nairobi River alipokuwa akicheza na wenzake, imeitaka serikali kuisaidia kutafuta mwili wake.
Advertisement
Advertisement





