Back to home

Zoezi la usaili wa madereva Saudi Arabia lakamilika Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 12, 2026
2h ago
Zoezi la kuwafanyia majaribio madereva kwa nafasi za kazi nchini Saudi Arabia jijini Nairobi limekamilika, huku idadi kubwa ya wakenya wakijitokeza kusaka nafasi hizo za ajira. Kampuni ya M-Ajira inaendesha zoezi hilo la kusaka madereva 500 watakaoajiriwa katika taifa hilo la Ghu
Advertisement