Back to home

Ruto awakaribisha Macron na marais wa Afrika dhifa ya Ikulu Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 12, 2026
3h ago
Jumatatu Jioni, Ikulu ya Rais jijini Nairobi ilishuhudia hadhi ya juu ya diplomasia pamoja na ushirikiano, Rais William Ruto alipoandaa dhifa maalum kwa heshima ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Marais kutoka mataifa kadhaa ya Afrika walioko nchini. Dhifa hiyo ikiashirikia k
Advertisement