Back to home

Wakulima watakiwa kukumbatia upanzi wa miti ya matunda Kajiado

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 21, 2026
1h ago
Changamoto yatolewa kwa wakulima katika kaunti ya Kajiado kukumbatia upanzi wa miti ya matunda kando na upanzi wa miti ya kawaida ili kupiga jeki utoshelevu wa chakula nchini.Wakizunguza walipokuwa wakikagua mradi wa upanzi wa miti na mimea unaoendeshwa na shirika la Maendeleo la
Advertisement