Back to home
Mkasa wa jumba Ole Nairi kaunti ya Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
2h ago
Huku juhudi za kuwaokoa watu watatu miongoni mwa wanne waliokwama kwenye jengo la ghorofa nane lililoporomoka katika eneo la Ole nairi Oloolua, Kajiado Kaskazini zikiingia siku ya nne, maafisa wa uokoaji wanasema bado wanakumbana na changamoto katika operesheni hiyo. Mwili mmoja
Advertisement
Advertisement





