Back to home
Kilio cha wachimbaji mawe huko Nyabigena Mugirango Kusini katika kaunti ya Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)May 22, 2026
6d ago
Wachimba migodi eneo la Nyabigena kule Mugirango Kusini waelezea wasiwasi wao kuhusu madai ya kuhangaishwa na maafisa wa serikali ya kaunti ya Kisii licha ya kuwa na stakabadhi zinazohitajika za kuchimba Mawe aina ya Soapstone kujikimu kimaisha
Advertisement
Advertisement





