Back to home
Kamati ya usalama Magarini sambamba na serikali ya Kilifi yasitisha upanuziwa kiwanda cha chumvi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 28, 2026
1h ago
Kamati ya usalama kule Magarini sambamba na serikali ya kaunti ya Kilifi yasitisha mara moja upanuzi wa kiwanda cha chumvi eneo la mjanaheri hadi pale mzozo baina yake na wakaazi utakapo suluhishwa.
Advertisement
Advertisement





