Back to home
Uhaba wa mafuta wazikumba nchi kadhaa huku Kenya ikitaja athari za vita vya Ghuba
video
C
Citizen TV (Youtube)May 23, 2026
41m ago
Mataifa kadhaa yanashuhudia uhaba wa mafuta, hali inayolemaza shughuli za usafiri huku wamiliki wa magari nchini Ethiopia, Burundi na Mozambique wakilazimika kusitisha baadhi ya huduma za usafiri wa umma.
Hapa nchini, Waziri wa Hazina Kuu ya Kitaifa John Mbadi, akizungumza Kaunti
Advertisement
Advertisement





