Back to home

Zaidi ya watu 80,000 washiriki Mater Heart Run kuchangia matibabu ya watoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 23, 2026
43m ago
Zaidi ya watu elfu themanini kutoka sehemu mbalimbali nchini leo walishiriki mbio za Mater Heart Run jijini Nairobi kwa lengo la kuchangisha shilingi milioni 150 kuwasaidia watoto wenye magonjwa ya moyo.
Advertisement